Wafungaji Bora Club Bingwa Afrika 2025/2026. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?

Updated on: Monday, February 16, 2026 at 03:00 AM

Hadi sasa, Trézéguet wa Al Ahly na Abdel Raouf wa Al Hilal Omdurman wanaongoza kwa magoli Club Bingwa Afrika msimu huu. Trézéguet akiwa na magoli 5 na Abdel Raouf akiwa na magoli 4.


# Mchezaji Timu Magoli Penati
1. Trézéguet Al Ahly 5 -
2. Abdel Raouf Al Hilal Omdurman 4 -
3. Ahmed Atef Otta Pyramids FC 4 -
4. Aboubacar Diakite ES Tunis 3 -
5. P. Bassène Renaissance Berkane 3 1
6. Nuno Santos Mamelodi Sundowns 2 -
7. Nasser Maher Pyramids FC 2 -
8. Arthur Sales Mamelodi Sundowns 2 -
9. M. Chouiar Renaissance Berkane 2 -
10. T. Nkeng Stade Malien Bamako 2 -
11. J. Diarra ES Tunis 2 -
12. B. León Mamelodi Sundowns 2 -
13. W. Kashala Saint Eloi Lupopo 2 -
14. A. Oura Simba 2 -
15. Mohamed Abdelrahman Al Hilal Omdurman 2 1
16. Depú Young Africans 2 1
17. Mahmoud Zalaka Pyramids FC 1 -
18. Mamadou Traore Stade Malien Bamako 1 -
19. P. Dube Young Africans 1 -
20. Tiago Reis Petro de Luanda 1 -

Orodha hii inasasishwa mara kwa mara kulingana na mechi za kila wiki.

Ona pia





Mr. Paul P.K - Mkeka wa Leo
Mr. Paul P.K

Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.

Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.


Mikeka ya Leo na Makala