Wafungaji Bora NBC Premier League 2025/26. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?

Updated on: Monday, February 9, 2026 at 02:05 PM

Tanzania Premier League

Hadi sasa, Saleh Karabaka wa JKT Tanzania na Fabrice Wa Ngoy wa Namungo wanaongoza kwa mabao Ligi Kuu Bara. Saleh Karabaka akiwa na mabao 6 na Fabrice Wa Ngoy akiwa na mabao 6. Swali ni moja, je, nani atakuwa mfungaji bora wa msimu huu wa NBC Premier League?

Orodha ya Wafungaji Bora (Top Goal Scorers) NBC 2025/26

Hadi hivi sasa, wachezaji wafuatao wameonyesha umahiri mkubwa wa kufumania nyavu. Hapa chini ni orodha ya wafungaji bora 30 Ligi Kuu Tanzania Bara:

# Mchezaji Timu Utaifa Magoli
1. Saleh Karabaka JKT Tanzania Tanzania 6
2. Fabrice Wa Ngoy Namungo DR Congo 6
3. Paul Peter JKT Tanzania Tanzania 5
4. William Edgar Dodoma Jiji Tanzania 4
5. Prince Dube Young Africans Zimbabwe 4
6. Jonathan Sowah Simba Ghana 3
7. Feisal Salum Azam Tanzania 3
8. Mathew Tegisi Pamba Jiji Kenya 3
9. Pacome Zouzoua Young Africans Ivory Coast 3
10. Darueshi Saliboko KMC Tanzania 3
11. Iddy Selemani Azam Tanzania 3
12. Peter Lwasa Pamba Jiji Uganda 3
13. Laurindo Dilson Depu Young Africans ang 3
14. Maxi Nzengeli Young Africans DR Congo 2
15. Valentino Mashaka JKT Tanzania Tanzania 2
16. ANDY BOYELI Young Africans DR Congo 2
17. Maabad Maulid Coastal Union Tanzania 2
18. Yasini Mgaza Dodoma Jiji Tanzania 2
19. Athuman Makambo Coastal Union Tanzania 2
20. Cyprian Kipenye Namungo Tanzania 2
21. Shassir Nahimana Pamba Jiji Burundi 2
22. Eliud Ambokile Mbeya City Tanzania 2
23. Ismail Mhesa Mtibwa Sugar Tanzania 2
24. Mundhir Vuai Mashujaa Tanzania 2
25. Clatous Chama Simba Zambia 2
26. Magata Charles Mtibwa Sugar Tanzania 2
27. Iddi Kipagwile Dodoma Jiji Tanzania 2
28. Vitalisy Mayanga Mbeya City Tanzania 2
29. Rushine De Reuck Simba South Africa 2
30. Kelvin Nashon Pamba Jiji Tanzania 2

Orodha hii inasasishwa mara kwa mara kulingana na mechi za kila wiki.

Ona pia





Mr. Paul P.K - Mkeka wa Leo
Mr. Paul P.K

Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.

Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.


Mikeka ya Leo na Makala