Wafungaji Bora NBC Premier League 2025/26. Je, Nani Atamaliza Msimu Kinara wa Magoli?
Tanzania Premier League
Hadi sasa, Fabrice Wa Ngoy wa Namungo na Feisal Salum wa Azam wanaongoza kwa mabao Ligi Kuu Bara. Fabrice Wa Ngoy akiwa na mabao 8 na Feisal Salum akiwa na mabao 6. Swali ni moja, je, nani atakuwa mfungaji bora wa msimu huu wa NBC Premier League?
Orodha ya Wafungaji Bora (Top Goal Scorers) NBC 2025/26
Hadi hivi sasa, wachezaji wafuatao wameonyesha umahiri mkubwa wa kufumania nyavu. Hapa chini ni orodha ya wafungaji bora 30 Ligi Kuu Tanzania Bara:
| # | Mchezaji | Timu | Utaifa | Magoli |
|---|---|---|---|---|
| 1. | Fabrice Wa Ngoy | Namungo | DR Congo | 8 |
| 2. | Feisal Salum | Azam | Tanzania | 6 |
| 3. | Saleh Karabaka | JKT Tanzania | Tanzania | 6 |
| 4. | Prince Dube | Young Africans | Zimbabwe | 6 |
| 5. | Laurindo Dilson Depu | Young Africans | Angola | 6 |
| 6. | William Edgar | Dodoma Jiji | Tanzania | 5 |
| 7. | Iddy Selemani | Azam | Tanzania | 5 |
| 8. | Selemani Mwalimu | Simba | Tanzania | 5 |
| 9. | Paul Peter | JKT Tanzania | Tanzania | 5 |
| 10. | Mathew Tegisi | Pamba Jiji | Kenya | 4 |
| 11. | Pacome Zouzoua | Young Africans | Ivory Coast | 4 |
| 12. | Jean Ngita | Azam | DR Congo | 4 |
| 13. | Mudathir Yahya | Young Africans | Tanzania | 4 |
| 14. | George Mpole | Tanzania Prisons | Tanzania | 4 |
| 15. | Jonathan Sowah | Simba | Ghana | 3 |
| 16. | Ibrahim Imoro | Singida BS | Ghana | 3 |
| 17. | Valentino Mashaka | JKT Tanzania | Tanzania | 3 |
| 18. | Cyprian Kipenye | Namungo | Tanzania | 3 |
| 19. | Darueshi Saliboko | KMC | Tanzania | 3 |
| 20. | Ismail Mhesa | Mtibwa Sugar | Tanzania | 3 |
| 21. | Peter Lwasa | Pamba Jiji | Uganda | 3 |
| 22. | Magata Charles | Mtibwa Sugar | Tanzania | 3 |
| 23. | Vitalisy Mayanga | Mbeya City | Tanzania | 3 |
| 24. | Rushine De Reuck | Simba | South Africa | 3 |
| 25. | Shiza Kichuya | Coastal Union | Tanzania | 3 |
| 26. | Joseph Akandwanaho | TRA United | Uganda | 3 |
| 27. | Mossi Ndumumwe | Singida BS | Burundi | 3 |
| 28. | Zidane Ally | Azam | Tanzania | 2 |
| 29. | Chukwunonye Obasi | Fountain Gate | Nigeria | 2 |
| 30. | Maxi Nzengeli | Young Africans | DR Congo | 2 |
Mr. Paul P.K
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.