Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025 - Tanzania Premier League

Updated on: Wednesday, June 25, 2025 at 03:00 AM

Katika msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/25 wenye jumla ya vilabu 16, Young Africans inaongoza ikiwa na jumla ya alama 82 huku ikiwa imecheza michezo 30 na kushinda michezo 27. Inafuatiwa na Simba ambayo ina jumla ya alama 78 baada ya kucheza michezo 30 na kushinda michezo 25.

Kwa upande mwingine, timu tatu za mwisho katika msimamo ni Singida Fountain Gate, Kagera Sugar, na KenGold ambazo zina alama 29, 23, na 16.

Hapa chini tumekuwekea msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/25.

Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024/2025

# Team MP W D L GD Pts
1. Young Africans 30 27 1 2 73 82
2. Simba 30 25 3 2 56 78
3. Azam 30 19 6 5 37 63
4. Singida Big Stars 30 17 6 7 19 57
5. Tabora United 30 10 8 12 -17 38
6. JKT Tanzania 30 8 12 10 0 36
7. Mashujaa 30 8 11 11 -4 35
8. Coastal Union 30 8 11 11 -5 35
9. Namungo 30 9 8 13 -8 35
10. KMC 30 9 8 13 -17 35
11. Pamba Jiji 30 8 10 12 -11 34
12. Dodoma Jiji 30 9 7 14 -18 34
13. Tanzania Prisons 30 8 7 15 -20 31
14. Singida Fountain Gate 30 8 5 17 -26 29
15. Kagera Sugar 30 5 8 17 -19 23
16. KenGold 30 3 7 20 -40 16
Champions League
CAF Confederation Cup
Relegation Play-Off
Relegation



Maswali Yalioulizwa Mara kwa Mara

Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2024/2025 ina jumla ya timu 16 ambapo kati ya hizo, timu inayoshikilia nafasi ya 1 na ya 2 zitashiriki CAF Champions League na timu inayoshikilia nafasi ya 3 itashiriki CAF Confederation Cup.

Katika msimamo wa ligi kuu bara, "Relegation" na "Relegation Play-Off" zinahusiana na kushushwa daraja (au kuepuka kushushwa daraja) kwa timu zilizopo mwishoni mwa msimamo wa ligi. Hizi maana yake ni:

Relegation

  • Hii inahusu timu mbili zinazoshika nafasi ya chini kabisa kwenye msimamo wa ligi kuu bara kufuatia mwisho wa msimu.
  • Timu hizi hushushwa kutoka ligi kuu kwenda ligi daraja la pili (NBC Championship)
  • Idadi ya timu zinazoshushwa mara nyingi kwa ligi kuu bara huwa ni timu mbili za mwisho.

Relegation Playoff (Mchujo wa Kushushwa Daraja)

  • Katika Ligi Kuu, timu zinazoingia kwenye "Relegation Playoff" mara nyingi ni zile zinazokaribia kushushwa daraja, lakini bado zinapewa nafasi ya mwisho kujinusuru.
  • Kwa msimu wa 2024/2025 timu zitakazo kuwa kwenye "Relegation Playoff" ni timu zitakazo shikilia nafasi ya 13 na 14
  • Hizi timu hushindana dhidi ya timu zinazotaka kupanda daraja kutoka ligi daraja la pili

Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Bara 2024/2025 ilianza 16/8/2024, 16:00:00 kwa mechi ya ufunguzi kati ya Pamba Jiji na Tanzania Prisons iliyoisha kwa matokeo ya 0:0

Timu mbili vinara wa mara kwa mara kwa ligi kuu Tanzania Bara ni Young Africans (Yanga SC) na Simba SC

Mataji ya ligi kuu:

  • Young Africans inaongoza kwa mataji (makombe) ya ligi kuu Tanzania ikiwa na jumla ya mataji 30 hadi kufikia mwisho wa msimu wa 2023/2024
  • Inafuatiwa na Simba SC yenye jumla ya mataji 22 ya ligi kuu hadi kufikia mwisho wa msimu wa 2023/2024


Bonasi na Ofa

Betway - Bet kuanzia Tsh. 100

Bet Kuanzia Tsh. 100

Shinda hata kwa 100 tu. Beti mikeka yako leo ndani ya betway kwa dau la kuanzia Tsh. 100 na ushinde beti zenye bonus ya hadi 700%

GSB Ofa - Beti Jackpot Bure

FreePick6 - Beti Jackpot BURE!

Jitayarishe kwa changamoto kuu ya utabiri ukitumia FreePick6! Karibu kwenye FreePick6, ambapo ujuzi wako wa kutabiri unaweza kukuongoza kwenye ushindi mkubwa! Kila wiki, una nafasi ya kutabiri alama sahihi za michezo 6 ya soka liyochaguliwa na kushinda dau nono la hadi milioni 10

Gal Sport Betting Ofa - 100% ofa ya ukaribisho

Ofa ya Ukaribisho 100%

Pata ofa ya ukaribisho ya hadi 1,000,000 kwenye deposit yako ya kwanza. Hii ndiyo njia mwafaka ya kuanza nasi na kufurahia msisimko wa kubashiri katika michezo. Usikose ofa hii ya kusisimua, jisajili leo na upate bonasi yako!

Leonbet Ofa - 5,000 BURE

5,000 BURE! Ofa ya App

Changamkia mchongo! Pakua app ya Android ya LEON na upate bonasi ya 5,000 TZS kutumia kwenye michezo yote ya Sloti na Live Casino. Ni burudani bampa to bampa na LEON!

Leonbet Ofa - Rudishiwa 10%

Rudishiwa 10% Kila Siku

Sloti kumenoga, cheza bila wasiwasi na Urudishiwe 10% Kila Siku. Cheza michezo sloti uipendayo na urudishiwe dau lako hadi 560,000 TZS kila siku. Usikae kinyonge, cheza sloti na ushinde zawadi deile!