Kinara wa sasa
Feisal Salum
Azam anaongoza akiwa na 8 assists.
Ukurasa huu unaonyesha wabunifu wakubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wale wanaotengeneza nafasi na pasi za mwisho zinazobadilika kuwa magoli.
Feisal Salum
Azam anaongoza akiwa na 8 assists.
Elie Mpanzu
Simba yupo karibu kileleni akiwa na 8 assists.
Hii ni jedwali ya wabunifu wa NBC wanaotengeneza pasi za mwisho, klabu wanazotokea na kiwango chao cha ubunifu msimu huu.
| # | Mchezaji | Timu | Utaifa | Assist |
|---|---|---|---|---|
| 1 |
Feisal Salum
|
Azam | Tanzania | 8 |
| 2 |
Elie Mpanzu
|
Simba | DR Congo | 8 |
| 3 |
Allan Okello
|
Young Africans | Uganda | 7 |
| 4 |
Clatous Chama
|
Singida BS | Zambia | 6 |
| 5 |
Duke Abuya
|
Young Africans | Kenya | 6 |
| 6 |
Maxi Nzengeli
|
Young Africans | DR Congo | 5 |
| 7 |
Iddy Selemani
|
Azam | Tanzania | 5 |
| 8 |
Ibrahim Imoro
|
Mtibwa Sugar | Ghana | 4 |
| 9 |
Pacome Zouzoua
|
Young Africans | Ivory Coast | 4 |
| 10 |
Ismail Aziz
|
Fountain Gate | Tanzania | 4 |
| 11 |
David Byrson
|
JKT Tanzania | Tanzania | 4 |
| 12 |
Lamin Jarjou
|
Singida BS | Gambia | 4 |
| 13 |
Prince Dube
|
Young Africans | Zimbabwe | 4 |
| 14 |
Israel Mwenda
|
Young Africans | Tanzania | 4 |
| 15 |
Neo Maema
|
Simba | South Africa | 4 |
| 16 |
Anuar Kilemile
|
JKT Tanzania | Tanzania | 3 |
| 17 |
Rashid Chambo
|
KMC | Tanzania | 3 |
| 18 |
Andrew Raymond Chamungu
|
Namungo | Tanzania | 3 |
| 19 |
Ande Koffi
|
Singida BS | Ivory Coast | 3 |
| 20 |
Khleffin Hamdoun
|
Dodoma Jiji | Tanzania | 3 |
| 21 |
Baraka Filemon
|
Mbeya City | Tanzania | 3 |
| 22 |
Andrew William
|
Coastal Union | Tanzania | 2 |
| 23 |
Castor Mwangabo
|
KMC | Tanzania | 2 |
| 24 |
Andy Bikoko
|
Dodoma Jiji | DR Congo | 2 |
| 25 |
LANDRY ZOUZOU
|
Azam | Ivory Coast | 2 |
| 26 |
Lusajo Mwaikenda
|
Azam | Tanzania | 2 |
| 27 |
Rogers Gabriel
|
- | Tanzania | 2 |
| 28 |
Kante Alasane
|
Simba | Senegal | 2 |
| 29 |
Mathew Tegisi
|
Pamba Jiji | Kenya | 2 |
| 30 |
Kibwana Shomari
|
Young Africans | Tanzania | 2 |
Mchambuzi wa michezo na Tipster Mkuu wa Mkeka wa Leo , mwenye zaidi ya miaka 8 ya uzoefu katika kutoa betting tips sahihi na zenye takwimu kwa mashabiki wa mpira Tanzania.
Paul huchambua mechi kutoka Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Premier League, La Liga, Serie A na ligi zingine kubwa za ulaya kwa kutumia data, form ya timu, na odds zenye thamani ili kuhakikisha mikeka yenye nafasi kubwa ya ushindi.